









Bei ya muuzaji: TSh 98,800,000
Jaguar F-Pace R-Sport ya mwaka 2018 inauzwa. Ina injini ya 2000cc Turbo Diesel, Automatic transmission, na imetembea kilomita 102,600. Gari hili la rangi ya Grey lina viti vya ngozi, panoramic sunroof, paddle shifters, na full options. Imeingizwa kutoka nje na haijasajiliwa, usajili ni bure. Bei ni TZS 98,800,000.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.