









Bei ya muuzaji: TSh 18,500,000
Toyota Noah (umbo jipya) ya mwaka takriban 2012 inauzwa. Gari hili lina injini ya 1990cc, rangi ya silver, na limekwisha sajiliwa Tanzania (Namba E). Lina AC kamili na nyaraka zote zipo. Bei ni TZS 18,500,000.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.