









Toyota Noah X ya mwaka 2012 inauzwa. Ina rangi nyeupe, injini ya 1990cc (3ZR) yenye silinda 4, na ni Automatic. Gari hili lina milango 5 na limekwisha sajiliwa Tanzania kwa namba E. Ipo katika hali nzuri.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.