









Bei ya muuzaji: TSh 10,900,000
Mazda Bongo Brawny ya mwaka 2000 inauzwa, ina injini ya RF diesel na gia ya Manual. Gari hili lina matairi mawili nyuma na limekwisha sajiliwa Namba D (T617 DNU). Bei yake ni TZS 10,900,000.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Je, gari unalotaka kununua linauzwa bei gani? Jaza fomu fupi hapa chini upate bei halisi ya gari unalotaka kununua.
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.