









Bei ya muuzaji: TSh 9,800,000
Mazda Bongo ya mwaka 2002 inauzwa, ina manual gear na inatumia diesel. Gari ina AC kamili na mfumo wa muziki. Ina namba ya usajili D na rangi nyeupe. Bei ni shilingi milioni 9.8.
Business Seller • Matangazo 11 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.