









Bei ya muuzaji: TSh 32,000,000
Toyota Wish ya mwaka 2013, rangi nyeupe, injini ya 1790cc. Ina paa la kioo (open roof) na imetembea zaidi ya kilomita 70,000. Gari hii haijasajiliwa Tanzania na inauzwa kwa shilingi milioni 32.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.