









Bei ya muuzaji: TSh 23,800,000
Toyota Wish ya mwaka 2005, rangi nyeupe (pearl white), inauzwa kwa shilingi milioni 23.8 ikiwa ni pamoja na usajili. Ina injini ya 1790 CC, paa la wazi (open roof) na vioo vya pembeni vyenye taa za kuashiria (winker mirror). Gari hili lina hali nzuri na bado halijasajiliwa nchini Tanzania.
Business Seller • Matangazo 30 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.