









Bei ya muuzaji: TSh 11,800,000
Toyota Wish ya mwaka 2005 inauzwa kwa milioni 11.8. Gari hili lina injini ya 1ZZ (1800cc) yenye silinda 4, inatumia petroli na ina mfumo wa Automatic transmission. Ina milango 5, rangi nyeusi, na bado haijasajiliwa Tanzania. Hali yake ni nzuri na nyaraka zote zipo kamili.
Business Seller β’ Matangazo 112 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.