









Bei ya muuzaji: TSh 10,500,000
Toyota Vitz ya mwaka 2012 inauzwa kwa TSh milioni 10.5. Gari hili la rangi nyeusi lina injini ya 1000cc, transmission Automatic, na ni namba D. Ipo katika hali nzuri sana na ina AC kamili.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.