









Bei ya muuzaji: TSh 36,000,000
Toyota TownAce pickup ya mwaka 2010, injini 7K petroli, gia manual. Imeingizwa kutoka nje ya nchi na haijasajiliwa Tanzania, usajili unafanywa na muuzaji. Inapatikana Morogoro kwa TShs 36,000,000.
Business Seller β’ Matangazo 10 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.