









Bei ya muuzaji: TSh 55,900,000
Toyota Surf New Model ya mwaka 2008, rangi nyeusi, ina injini ya Petroli 2TR yenye CC 2690 na Automatic transmission. Gari hili lina milango 5 na limekwisha sajiliwa Namba E Tanzania.
Business Seller β’ Matangazo 4 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.