









Bei ya muuzaji: TSh 16,800,000
Toyota Spade ya mwaka 2013 inauzwa ikiwa na injini ya 1490cc, automatic transmission na rangi nyeupe. Gari hili lina milango 4, limekwisha sajiliwa Namba E, na lina matairi mapya na rimu za michezo.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.