









Bei ya muuzaji: TSh 16,800,000
Toyota Spade ya mwaka 2013 inauzwa. Ina injini ya 1490cc (1NZ) ya Petroli na Automatic transmission. Rangi yake ni nyeupe na imesajiliwa Namba E (T694 EQU). Gari ina milango ya automatic, rims za sport, tairi mpya na viti safi. Bei ni milioni 16.8.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.