









Bei ya muuzaji: TSh 16,500,000
Toyota Sienta ya mwaka 2008, rangi nyeupe, yenye injini ya 1490cc na mileage ya 121,000km. Gari hili lina namba za usajili Namba E na limetumika Tanzania. Ina AC kamili, redio ya Android, na rimu za michezo.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.