









Bei ya muuzaji: TSh 13,500,000
Toyota Rush nyeupe ya mwaka 2008 inauzwa. Gari hili lina Automatic transmission, injini ya Petroli (1495cc) na usajili wa Namba D (T160 DMV). Imetumika Tanzania na haina changamoto yoyote. Bei ni shilingi 13,500,000.
Business Seller • Matangazo 67 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.