







Bei ya muuzaji: TSh 13,800,000
Toyota Rumion ya mwaka 2008 inauzwa, ikiwa na injini ya 1490cc na imetembea kilomita 100,000. Gari hili la rangi ya bluu lina transmission Automatic na namba za usajili Namba D. Ipo katika hali nzuri, ikiwa na Android radio, sports rims, matairi mapya, fog lights, na viti safi.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.