









Bei ya muuzaji: TSh 10,800,000
Toyota Rav4 ya mwaka 2007, rangi ya bluu, injini ya Petroli 2360cc (2AZ) na Automatic transmission. Gari hili limetumika Tanzania, lina namba B, na limehifadhiwa vizuri. Linakuja na AC kamili na nyaraka zote. Bei ni TZS 10,800,000.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.