









Bei ya muuzaji: TSh 14,300,000
Toyota Raum ya mwaka 2008, rangi ya Silver, ina injini ya 1NZ 1490cc Petroli yenye silinda 4 na Automatic transmission. Imetembea kilomita 71,200 na ina usajili Namba E. Gari ina milango 4, AC kamili, redio ya Android, rimu za spoti na matairi mapya. Iko safi ndani na nje, kodi zote zimelipwa. Bei ni TZS 14,300,000.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.