









Bei ya muuzaji: TSh 13,500,000
Toyota Passo ya mwaka 2012 inauzwa. Ina injini ya 1KR, mileage 73,000 km, na rangi ya silver. Gari hili lina matairi mapya na linauzwa kwa TZS milioni 13.5, ikiwa na usajili mpya. Imeingizwa kutoka nje ya nchi na haijasajiliwa Tanzania.
Business Seller β’ Matangazo 20 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.