l1bs3zu4f351t1hv1w71vkdcamgswr










Toyota Passo nzuri sana, mwaka 2007, yenye injini…
Toyota Passo nzuri sana, mwaka 2007, yenye injini ya 1KR na CC 990, inayotumia petroli na mafuta kidogo. Ina AC kamili, injini na gia boksi safi. Imeandikishwa Namba D na inauzwa kwa bei ya milioni 5.6.
Magari mengine ya Hatch-Back yanayouzwa Tanzania: Toyota Ractis, Subaru Impreza, Toyota RunX, Subaru XV, Toyota Vitz, Toyota IST, BMW 1 Series, Mazda Demio, Toyota Starlet, Nissan March, Toyota Allex, Suzuki Swift.
Download GariPesa App
Nunua na uza magari kirahisi kupitia simu yako.
Hatua ya kwanza kuelekea kumiliki gari hili ni kujaza fomu hii fupi ili wataalamu wetu waweze kupitisha ombi lako leo.