









Bei ya muuzaji: TSh 3,800,000
Toyota Passo ya mwaka 2003, injini ya 990cc, rangi ya silver, na usajili Namba C. Gari hili lina AC kamili na linatumia petroli. Bei ni milioni 3.8.
Business Seller • Matangazo 78 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.