









Bei ya muuzaji: TSh 10,000,000
Toyota Noah ya mwaka 2005 inauzwa kwa shilingi milioni 10. Gari hili jeusi, lenye milango 5 na injini ya petroli ya 1998cc, lina mileage ya takriban 80,000 km. Ina Automatic transmission na imetumika nje ya nchi. Ina full option, rimu za michezo, matairi mapya, vioo vya pembeni vyenye winkers, na mambo ya ndani na nje safi.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.