









Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
π Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
π¦ Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 179,000,000
Toyota Land Cruiser V8 ya mwaka 2018 inauzwa, ikiwa na injini ya Diesel ya 4,500cc V8 Turbo na Automatic Transmission. Imetembea kilomita 70,000 tu na ina mfumo wa 4WD. Gari hili lina viti 7 vya ngozi, sunroof, push start, smart key, alloy wheels, LED headlights, reverse camera, parking sensors, cruise control, multifunction steering, na premium sound system. Iko katika hali bora na tayari kuendeshwa, ikiwa na namba za usajili za Tanzania (Namba E).
Business Seller β’ Matangazo 45 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.