



Bei ya muuzaji: TSh 79,500,000
Toyota Land Cruiser V8 (200 Series) ya mwaka 2010, rangi ya silver, inatumia diesel na ina injini ya 4461cc V8. Gari hii ina usajili Namba B na imetumika Tanzania. Ina sifa kama viti vya ngozi, push to start, crawl control, dynamic drive select, adaptive cruise control, parking sensors, na mfumo wa 4WD.
Business Seller β’ Matangazo 54 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.