









Bei ya muuzaji: TSh 78,000,000
Toyota Land Cruiser Prado 120 ya mwaka 2008 inauzwa. Ina injini ya 2TR yenye ujazo wa 2690cc, viti vya ngozi, na sunroof. Gari hili lina uwezo wa kubeba abiria 7 na lipo katika hali nzuri. Bei ni milioni 78 pamoja na usajili.
Business Seller β’ Matangazo 502 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.