









Bei ya muuzaji: TSh 265,000,000
Toyota Land Cruiser 79 Pickup ya mwaka 2026 inauzwa. Ina injini ya 1HZ Diesel yenye silinda 6, manual transmission, na imetembea kilomita 2,000 tu. Gari hili la double cab lina milango 4 na rangi ya kijivu. Ilinunuliwa ikiwa mpya kutoka Toyota Tanzania na bado ina warranty ya service hadi 75,000km. Bei ni TZS 265,000,000.
Business Seller • Matangazo 136 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.