









Bei ya muuzaji: TSh 70,000,000
Toyota Land Cruiser 70 Series ya mwaka 2012, rangi nyeupe, inauzwa Dar es Salaam. Gari hili la milango 5, injini ya Diesel (4200cc) na mfumo wa AWD/4WD, ilikuwa gari la serikali na ipo katika hali nzuri. Bei ni milioni 70.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.