









Bei ya muuzaji: TSh 9,500,000
Toyota Ipsum ya mwaka 2002, rangi ya silver, inauzwa kwa TZS 9.5 milioni. Gari hili la viti 7 lina injini ya 2300cc na namba ya usajili T671 DDF. Ipo na sports rims.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.