









Bei ya muuzaji: TSh 13,000,000
Toyota Hiace ya mwaka 2000 inauzwa Mwanza. Ina injini ya 2RZ yenye CC 2430, inatumia Petroli na ina Manual Gearbox. Gari ina namba ya usajili T*** CUS, bima na nyaraka kamili. Injini na gearbox viko vizuri, tairi zote ni mpya na gari imenyooka.
Business Seller β’ Matangazo 2 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.