















Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
🔍 Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
🏦 Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 25,800,000
Toyota Harrier ya mwaka 2005 inauzwa, ikiwa na injini ya Petroli ya 2360cc (2AZ VVTI) na mileage ya kilomita 80,000. Gari hili la rangi nyeupe lina transmission Automatic na tayari limesajiliwa Tanzania kwa namba D. Ina milango 5 na inakuja na Android radio, TV za viti vya nyuma, rimu za michezo na matairi mapya.
Business Seller • Matangazo 121 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.