









Bei ya muuzaji: TSh 13,700,000
Toyota Coaster ya mwaka 1990 inauzwa kwa milioni 13.7. Ina injini ya 14B Diesel yenye silinda 4 na gia za Manual. Gari hili lina rangi nyeupe na limekwisha sajiliwa Tanzania kwa namba D. Matairi yote ni mapya na bodi imekamilika.
Business Seller β’ Matangazo 53 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.