









Bei ya muuzaji: TSh 4,900,000
Toyota Carina TI ya mwaka 2002, yenye injini ya 1490cc na rangi ya silver. Gari hili halijawahi kupigwa rangi wala kupata ajali, na lina namba ya usajili B. Inapatikana Dar es Salaam kwa bei ya shilingi milioni 4.9.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.