









Bei ya muuzaji: TSh 9,800,000
Toyota Belta ya mwaka 2005, yenye injini ya petroli 1290cc na gia otomatiki. Gari hili la rangi ya silver limetumika Tanzania na lina namba D. Lina sifa za injini yenye ufanisi wa mafuta, usukani wa nguvu, madirisha ya umeme, AC, central locking, na viti vyenye nafasi.
Business Seller • Matangazo 9 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.