









Bei ya muuzaji: TSh 55,000,000
Toyota 4Runner (Surf) ya mwaka 2008 inauzwa kwa TZS 55,000,000 (maongezi yapo). Gari hili lina injini ya Petroli ya 2TR yenye 2690cc na silinda 4, Automatic transmission, na rangi nyeusi. Imeandikishwa Tanzania (Namba E), ina AC kamili, matairi mapya, na usukani wa aftermarket. Haina rangi iliyopakwa upya na ina tairi ya akiba.
Business Seller β’ Matangazo 11 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Je, gari unalotaka kununua linauzwa bei gani? Jaza fomu fupi hapa chini upate bei halisi ya gari unalotaka kununua.
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.