









Bei ya muuzaji: TSh 6,800,000
Suzuki Swift ya mwaka 2008 inauzwa, ina injini ya 1390cc na imesajiliwa Namba C. Gari ina AC kamili na imetumika Tanzania, ikiwa na mileage ndogo. Bei ni TZS 6,800,000.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Je, gari unalotaka kununua linauzwa bei gani? Jaza fomu fupi hapa chini upate bei halisi ya gari unalotaka kununua.
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.