









Bei ya muuzaji: TSh 8,800,000
Suzuki Swift ya mwaka 2005 inauzwa ikiwa na injini ya 1320cc na transmission Automatic. Gari ina rangi ya bluu na paa jeusi, ina milango 5, na imesajiliwa Tanzania kwa namba D (T143 DPL). Ina AC kamili, redio ya Android yenye Bluetooth, rimu za sports na matairi mapya.
Business Seller • Matangazo 25 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Je, gari unalotaka kununua linauzwa bei gani? Jaza fomu fupi hapa chini upate bei halisi ya gari unalotaka kununua.
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.