l1bs3zu4f351t1hv1w71vkdcamgswr










Suzuki Swift ya mwaka 2005 inauzwa ikiwa na…
Suzuki Swift ya mwaka 2005 inauzwa ikiwa na injini ya 1320cc na transmission Automatic. Gari ina rangi ya bluu na paa jeusi, ina milango 5, na imesajiliwa Tanzania kwa namba D (T143 DPL). Ina AC kamili, redio ya Android yenye Bluetooth, rimu za sports na matairi mapya.
Business Seller • Matangazo 22 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Magari mengine ya Hatch-Back yanayouzwa Tanzania: Toyota Passo, Toyota IST, Toyota Vitz, Toyota Ractis, Nissan Note, Suzuki Wagon R, Subaru Impreza, Toyota Starlet, Toyota Porte, Toyota RunX, Subaru XV, BMW 1 Series.
Download GariPesa App
Nunua na uza magari kirahisi kupitia simu yako.
Hatua ya kwanza kuelekea kumiliki gari hili ni kujaza fomu hii fupi ili wataalamu wetu waweze kupitisha ombi lako leo.