







Bei ya muuzaji: TSh 12,500,000
Subaru Impreza ya mwaka 2014, rangi nyeupe, inauzwa kwa milioni 12.5. Gari hili ni hatchback ya milango 5, ina injini ya Petroli ya silinda 4 na mfumo wa AWD. Imeingizwa kutoka nje ya nchi na bado ipo katika hali nzuri.
Business Seller • Matangazo 2 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.