l1bs3zu4f351t1hv1w71vkdcamgswr










Subaru Forester XT ya mwaka 2010 inauzwa Dar…
Subaru Forester XT ya mwaka 2010 inauzwa Dar es Salaam. Ina injini ya 1990cc yenye turbo, automatic transmission, na viti vya ngozi. Gari ina sunroof, push to start, AC, Android radio, sport rims, fog lights na back camera. Imeishasajiliwa Tanzania ikiwa na namba ya usajili T 672 EKY.
Magari mengine ya SUV yanayouzwa Tanzania: Toyota Rav4, Toyota Land Cruiser Prado, Toyota Land Cruiser V8, BMW X3, Toyota Harrier, Mitsubishi RVR, Mazda CX-5, Land Rover Range Rover Sport, Audi Q2, Toyota Vanguard, Toyota Kluger, Daihatsu Terios.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi za kisasa.
Badili gari kuwa pesa! 📉💰 Iwe unataka kuuza gari au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na uone gari lako likigeuka kuwa pesa!
Download GariPesa App
Nunua na uza magari kirahisi kupitia simu yako.