









Bei ya muuzaji: TSh 9,000,000
Nissan Safari ya mwaka 1995 inauzwa ikiwa na injini ya TD42 Diesel na Manual transmission. Ina namba ya usajili Namba A na imetumika Tanzania. Rangi yake ni nyekundu na ina milango 5. Gari hili lina faili kamili na matairi mapya.
Business Seller β’ Matangazo 18 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.