





Bei ya muuzaji: TSh 7,900,000
Nissan Patrol ya mwaka 2000, yenye injini ya TD42 diesel na gia manual, inauzwa Dar es Salaam. Gari ina namba za usajili Namba A na ina milango 5. Rangi yake ni nyeusi, ingawa imepauka. Imeegeshwa kwa muda mrefu na haiwaki.
Business Seller β’ Matangazo 34 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Je, gari unalotaka kununua linauzwa bei gani? Jaza fomu fupi hapa chini upate bei halisi ya gari unalotaka kununua.
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.