









Bei ya muuzaji: TSh 23,700,000
Nissan Juke ya mwaka 2010, injini ya 1490cc, rangi nyeusi. Gari hii imeagizwa kutoka nje na bado haijasajiliwa Tanzania. Inapatikana Dar kwa bei ya shilingi milioni 23.7. Kubadilishana gari kunaruhusiwa.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.