







Bei ya muuzaji: TSh 32,500,000
Mitsubishi RVR ya mwaka 2014, rangi nyeusi, inauzwa kwa shilingi 32.5 milioni. Ina injini ya 1990cc na imetembea kilomita 64,000. Gari hili lina sunroof, viti vya ngozi asili, na transmission Automatic. Bado haijasajiliwa na usajili utafanywa bure.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.