









Bei ya muuzaji: TSh 14,000,000
Mitsubishi Pajero ya mwaka 2004, rangi ya Silver, yenye injini ya 2900cc na silinda 6. Gari hili lina usajili wa Namba D na limekuwa likitumika Tanzania. Ina mileage ya chini na transmission Automatic.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.