









Bei ya muuzaji: TSh 27,000,000
Mitsubishi Outlander ya mwaka 2015, rangi ya bluu, inauzwa kwa TZS 27,000,000. Ina injini ya 2360cc na imetembea kilomita 67,000. Gari hili lina namba za Tanzania (Namba E), sunroof, matairi mapya, sport rim, na AC kamili. Kubadilishana gari kunaruhusiwa.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Je, gari unalotaka kununua linauzwa bei gani? Jaza fomu fupi hapa chini upate bei halisi ya gari unalotaka kununua.
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.