









Bei ya muuzaji: TSh 33,000,000
Basi la Mitsubishi Fuso linauzwa, lina injini ya dizeli ya 6D17 na gia ya mikono yenye spidi 5. Lina usajili wa Namba D (T311 DYF), rangi ya silver, na milango 2. Lipo katika hali nzuri na lina nyaraka kamili, linafaa kwa usafiri wa umma, shule, au wafanyakazi. Bei ni TZS milioni 33.
Business Seller β’ Matangazo 30 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.