













Bei ya muuzaji: TSh 11,500,000
Mazda Demio ya mwaka 2010 inauzwa. Ina injini ya 1340cc, Automatic transmission, na inatumia petroli. Gari ina namba ya usajili Namba E, ikiwa na redio ya Android/bluetooth, AC kamili, na matairi mapya manne. Bei ni 11.5 milioni.
Business Seller • Matangazo 505 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.