











Bei ya muuzaji: TSh 35,900,000
Mazda Atenza ya mwaka 2016 inauzwa kwa TZS 35.9 milioni. Ina injini ya Diesel ya 2200cc na imetembea kilomita 44,000. Gari hili jeusi lina milango 4, sunroof, na viti vya ngozi vyeupe. Usajili mpya utafanywa bure kwa mnunuzi.
Business Seller β’ Matangazo 505 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Je, gari unalotaka kununua linauzwa bei gani? Jaza fomu fupi hapa chini upate bei halisi ya gari unalotaka kununua.
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.