









Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
π Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
π¦ Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 38,000,000
Land Rover Range Rover Sport HSE ya mwaka 2008 inauzwa. Ina injini ya TDV8 yenye ujazo wa 3600cc, inatumia Diesel na ina transmission Automatic. Gari hili lina milango 5, rangi ya kijivu, na linakuja na usajili mpya. Ina sifa kama viti vya ngozi, steering switches, Bi-Xenon HeadLamps, 8-SRS Airbag, na mfumo wa sauti wa Harman Kardon.
Business Seller β’ Matangazo 61 β’ Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari ππ° au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.