



















Bei ya muuzaji: TSh 85,000,000
Jeep Wrangler Sahara ya mwaka 2013 inauzwa. Ina injini ya Petroli ya 3000cc, Automatic transmission na mfumo wa 4×4. Gari ina milango 4, rangi ya Silver, na imetumika nje ya nchi, bado haijasajiliwa Tanzania. Ina smart radio, leather seats, sport rims na matairi mapya, pamoja na paa linalofunguka.
Business Seller • Matangazo 504 • Anatumia GariPesa tangu 2026
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari Tanzania.