









Epuka Kuuziwa Gari Bovu! Kabla huja-lipia tutakagua engine, gearbox na hitilafu zote za gari zinazoweza kukupa hasara kubwa katika matengenezo. Pata ukaguzi kamili kwa TSh 49,000/= tu popote ndani ya Dar es salaam.
🔍 Book Ukaguzi LeoUmepungukiwa Fedha ya Malipo ya Gari? Ondoa shaka! GariPesa tutakupa mkopo wa haraka, ulipie gari hili liwe lako.
🏦 Omba Mkopo SasaBei ya muuzaji: TSh 59,800,000
Jeep Cherokee ya mwaka 2016, rangi ya chungwa, inatumia petroli na injini ya 3200cc. Gari hili limeingizwa kutoka nje ya nchi na bado halijasajiliwa, lakini usajili utafanywa bure. Ina mileage ndogo, viti vya ngozi, sunroof, ‘push to start’, matairi mapya, na boot ya umeme. Pia ina uwezo wa kuunganisha USB/Bluetooth.
Iwe unataka mkopo, ukaguzi wa gari, kubadili umiliki, au kujua bei halisi ya gari unalotaka kununua.. rahisisha ununuzi wa gari kwa kutumia huduma hizi.
Iwe unataka kuuza gari 📉💰 au unatafuta fedha ya haraka, chagua huduma sahihi na ubadili gari lako kuwa pesa!
Download GariPesa App
Soko Kuu la Magari.